Updates & News

Tangazo kutoka Baraza la Wataalamu wa Maabara za Afya Tanzania

Msajili wa Baraza la Wataalam wa Maabara (The Health Laboratory Practitioners Council) anapenda kuwataangazia Wataalam wote wa Maabara waliokuwa wamesajiliwa; kwa Sheria ya zamani (Health Laboratory; Technologist Council of 1997) kuwa Sheria hii ilifutwa; baada ya kutungwa kwa Sheria Na 22 (The Health Laboratory Practitioners Council) ya mwaka 2007.
Hivyo Baraza linachukuwa nafasi hii, kuufahamisha Umma na kuwatangazia Wataalam wote wa Maabara kuwa; wanapaswa kubadilisha vyeti vya zamani na kupata vyeti vipya kulingana na Sheria iliyotaja hapo juu. Msajili anapenda vile vile, kuwakumbusha Wataalam wote wa Maabara pamoja na wale ambao wanafanya kazi bila kusajiliwa waombe kusajiliwa mapema iwezekanavyo. Baraza linatoa muda wa miezi sita kuanzia tarehe 01.10.2014; kwa Wataalam wa Maabara wa Afya kubadilisha vyeti vya zamani na kupata vyeti vipya.

Newsletter

Enter your email and we'll send you more information

Get in Touch

P.O BOX 65094 Dar es Salaam

Located in the junction of Lithuli road and Samora,Opposite Ocean road cancer institute

  • dummy+255 222 128 052

  • dummy+255 222 128 052

  • dummy info@melsat.or.tz

  • dummy melsattanzania@gmail.com

© Copyright MeLSAT 2024. Designed by Luzwi

Search